Chat Now

HABARI MPYA

FUNDISHO LA MSINGI

PICHA NA MATUKIO

CAPACITY BUILDING CLASS

MAHUSIANO

NUKUU YA LEO

ZOEZI LA KUVISHANA PETE LILIKUWA HIVI KATI YA Bishop SHABOKA na ROSE MUSHI.


Maneno haya yalisikika kinywani mwa Shaboka na Rose  ''MAY THE LORD HELP ME TO KEEP MY PROMISE'' Ni maneno ya ku-surrender kwa BWANA, Oooh Hallellujah!!!!!

Watch Now!


0659 700 002
Blog Admin.

Wachungaji Waweka Mikono Juu Ya Bishop Shaboka na Rose Mushi.


Baada ya kuvalishana pete, yalifuata maombi ya baraka na ushindi juu yao.

Check hapa:


HILI NDILO TABASAMU LA MWANADADA ROSE MUSHI LILILOMCHANGANYA BISHOP NICKODEMUS SHABOKA Jr.


Hatimaye Bishop Nickodemus Shaboka Jr wa City Harvest Church na Rose Mushi wa Calvary Assemblies Of God wapeana viapo vya uchumba kuelekea NDOA.
Shangwe hizi zilifanyika ndani ya CITY HARVEST CHURCH.

Hilo ndilo tabasamu la mwana dada Rose Mushi (LDN) mbele ya mtarajiwa wake na umati wa watu waliohudhuria tukio hili pamoja na wachungaji.



MAONI YAKO

.























Long Live Shaboka & Rose!
Don't miss to attend on their Wedding!
Call: 0715 310 587 (Shaboka) for wedding Updates! Date & Venue!
Or keep on visiting this site for more updates.

Thanks!

Juu