Chat Now

HABARI MPYA

FUNDISHO LA MSINGI

PICHA NA MATUKIO

CAPACITY BUILDING CLASS

MAHUSIANO

NUKUU YA LEO

AFYA TEA SPICE KWA AFYA BORA

 
FAMAREX PRODUCTS & CO.
The Home Of Natural Products.


Tunapenda kuitambulisha bidhaa bora kabisa ijulikanayo kama ''AFYA TEA SPICE''
 
Afya Tea Spice ni moja kati ya bidhaa za FamareX iliyojipatia umaarufu kwa virutubisho asilia, hukupa afya bora na nguvu zaidi.
Afya Tea Spice ni nzuri kwa rika zote pamoja na wagonjwa pia. Haina kemikali, ni asili, haihitaji kutumia majani ya chai; yenyewe inajitosheleza.





MUHIMU:
*** Ina kiwango kikubwa cha mchanganyiko wa virutubisho vingi vya madini, vitamini ‘flavoids’, ‘isoflavones’, ‘polyphenols’ ‘terpenes’ , saporins’ , phytosterols’, na phytate.

*** Husaidia kuzuia mtu asipatwe na Saratani zitokanazo na homoni za mwili, kama vile Saratani ya matiti na tumbo. Vile vile ina uwezo wa kuzuia ugonjwa wa mifupa na matatizo ya wanawake baada ya kufikia ukomo wa hedhi (menopause).

*** Bidhaa hii imejipatia umaarufu kwa kuwa na madini, vitamini na virutubisho vingine vinavyopatikana kwenye samaki, nyama, mayai na maziwa. Kwa maana nyingine mtu anayetumia AFYA TEA SPICE kutoka FAMAREX ni sawa na yule aliyekula vyakula hivyo.

*** Virutubisho vya AFYA TEA SPICE aina ya protini na ‘isoflavones’ hushusha kiwango cha kolesterol mbaya (LDL) mwilini, hali kadhalika hupunguza ugandaji wa damu hivyo kupunguza kwa kiasi kikubwa hatari ya mtu kupatwa na mshituko wa moyo au kiharusi. Vile vile huboresha msukumo na mishipa ya damu mwilini.

*** Kumbuka kuwa protini mwilini huongeza uwezo wa mwili kuhifadhi na kunyonya madini ya ‘calcium’ kwenye mifupa. Kamba lishe (dietary fiber) iliyomo, hurekebisha kiwango cha sukari na uchujaji sumu wa figo.

*** Ni nzuri kwa watu wenye matatizo ya kuwa na macho mekundu, ukosefu wa choo na kusikia kiu kila wakati.

FAIDA NI NYINGI SANA KUZITAJA, HIZO HAPO JUU NI BAADHI/CHACHE TU.

MATUMIZI:
Kijiko kimoja cha chai (au kiasi unachopendelea - kwani haina madhara kiafya) kwa kikombe kimoja cha chai , maziwa au bakuli moja ya uji.
Jali Afya yako na ya familia yako, Tumia bidhaa za FamareX.

PIA TUNAZO SHAMPOO ZA NYWELE zilizotengenezwa kwa kutumia tunda la Apple. Ni nzuri sana, zinafanya nywele zing'ae, zisikatike wala kukakamaa, inasaidia kutibu mba (dandruff).
Kwa wenye mba - tunakuletea suluhisho.
Shampoo hizi ni kwa matumizi ya watu wa jinsia zote (wanaume na wanawake).

Wasiliana nasi:
                                                                                     
 Mkurugenzi,                                                                             
FamareX Products & Co.
0659 700 002
P.O.BOX 7331, Dar es Salaam, Tanzania.  

Marketing Manager,
FamareX Products & Co.
0766 730 360

KARIBU TUKUHUDUMIE.
The Home Of Natural Products.  

Juu