JOHN SHABANI TOUR TO VISIT NGORONGORO CRATER
-
The *Ngorongoro Conservation Area* is a protected area and a World
Heritage Site located 180 km (110 mi) west of Arusha in the Crater Highlands
area of...
HABARI MPYA
FUNDISHO LA MSINGI
PICHA NA MATUKIO
CAPACITY BUILDING CLASS
MAHUSIANO
NUKUU YA LEO
KANUNI KUMI ZA NAMNA YA KUJITENGENEZEA JINA AU ALAMA BINAFSI YA KIBIASHARA/HUDUMA.
Imewekwa na: Mdee Junior Tarehe: 10:08:00 PM / maoni : 0 Capacity Building Class.
Kanuni hizi ndizo ambazo nami pia nazitumia:

Awali ya yote naomba tujiulize swali hili kuhusu neno alama (BRANDS) ni nini?
Alama katika somo hili tunatafsiri kuwa ni Jina kwa ufupi. Jina ulilo nalo huweza kukuletea heshima na fedha katika jamii ikuzungukayo. Heri kuchagua jina jema... Mithali 2:1.
1. LAZIMA UTAFUTE ULINGANIFU (wakati) KATIKA KILA JAMBO NA ULITENDE BILA KUKOSEA (consistent).Tambua kuwa kutengeneza jina au alama ni jambo rahisi mno katika jamii.
Mfano.
wewe ni mfanyabiashara wa duka na umezoea kufungua duka lako saa kumi na moja alfajiri basi daima ukumbuke kuwa hiyo ndiyo iwe kanuni yako na ufanye kwa uhakika bila ya kukosea yaani kiutimilifu.
Tukifanya mambo yetu kwa wakati na kwa ukamilifu (umakini) basi itakuwa ni rahisi kutengeneza alama binafsi ya kibiashara.
Tambua kuwa huwezi kujitengenezea jina katika maeneo yako ya kazi, kipaji chako au biashara yako kama hautakuwa na umakini katika shughuli zako uzifanyazo. Elewa kuwa jina au alama huja kulingana na utendaji wako wa huduma kwa wakati na kufanya kwa wakati.
2. KUWA MWAMINIFU NA MUWAZI KATIKA KILA ULIFANYALO. (be honest).Daima kumbuka kuwa ni mbashiri mwema afanyaye ayasemayo kuwa mwaminifu na muwazi katika shughuli zako uzitendazo. Ukweli utakufanya uweze kutengeneza jina au alama binafsi ya kibiashara. Kumbuka kuwa hakuna kitu kizuri au kibaya kama ushahidi wa mdomo. Hivyo kufanya kazi uliyo nayo kwa uaminifu na uwazi katika kila ufanyalo.
3. KUWA NA MTAZAMO CHANYA. (be positive).
Mtu mwenye mtazamo chanya hufikiria mambo chanya. Kufikiri vitu chanya husaidia kuongelea watu wengine vyema. Jifunze kuongelea vyema (chanya) habari za mtu.
Kumbuka kuwa katika biashara ukimuongelea vibaya mtu mwingine unajiharibia na wewe mwenyewe. Tambua kuwa katika biashara daima masikio ya watu hupenda kusikia taarifa mbalimbali nzuri, zinazovutia. Hivyo mtazamo chanya utakusaidia sana kuufanya moyo au nafsi yako kupunguza hofu na migogoro ya kinafsi katika shughuli zako na utajitengenezea alama binafsi ya kibiashara.
4. SAIDIA WATU (engage others)
Heri kutoa kuliko kupokea. Mkono utoao daima ndio ubarikiwao. Unapotoa daima unajitengenezea alama ya biashara. Ukiwasaidia watu katika mambo mbalimbali hata kwa ushauri au fedha kidogo ama maarifa uliyo nayo ishadari na isibu utakumbukwa na kuombewa mema. Hata ukifa utabaki katika mioyo ya watu.
5. HAKIKISHA UPO MARA ZOTE.
Uwepo wako katika eneo ufanyialo kazi mara kwa mara au eneo la biashara ni daraja moja wapo la kujitengenezea alama binafsi ya kibiashara. Tambua kwamba kuwaachia watu wengine kazi au shughuli zako huweza kupata uharibifu, achana na uvivu nenda kazini au eneo lako la biashara ya kila siku hii itakusaidia sana kuendelea na kujitengenezea alama binafsi ya kibiashara. Uwepo wako katika eneo ulifanyialo biashara una faida sana.
6. AMINI KUWA WEWE UKO SAWA NA MTU MWINGINE.
Kuamini kuwa wewe uko sawa na watu wengine waliofanikiwa kutakusaidia kuanzisha na kufanya kitu kama wao na kufanikiwa katika shughuli zako za kibiashara au kazi.
Kujiamini daima huondoa hofu ya kimazingira au elimu ambayo ni tatizo kubwa.
Kujiamini kwako hujengwa na mazungumzo unayojizungumzia wewe mwenyewe. Kiutaalamu mtu hujiongelea mwenyewe kwa asilimia themanini (80%) wakati asilimia ishirini (20%) ni wengine.
Chunguza namna unavyojiongelea.
7. KUWA WEWE MWENYEWE (be yourself)
Ni kweli kwamba kila mtu ameumbwa na Mungu ila tuna utofauti. Kila binadamu ana upekee wake ambao humtofautisha na mtu mwingine na ndio maana wewe ni wewe tu. Upo uzuri wa kufanya mambo yako kama wewe mwenyewe.
Usijaribu kuishi au kufanya kazi kama mtu mwingine maana unaweza kukwama. Upekee katika ufanyaji wa mambo yako utapata uhuru, kufanikiwa na nguvu hata utakaposhindwa.
8. KUWA M'BUNIFU MWENYE UBUNIFU WENYE TIJA.
Ubunifu ni hali ya kuunda kitu kipya kutokana na mazingira yanayotuzunguka. Hivyo kwa ufafanuzi huo tambua kuwa hakuna jambo jipya.
Mazingira yatuzungukayo ndio tunatakiwa kubuni, ili kujitengenezea jina binafsi la biashara lazima uweze kuwa m'bunifu mwenye ubunifu wenye tija.
Ubunifu huboresha wazo ulilonalo. Tambua ubunifu ni kuwa na nidhamu, kuwa mbunifu katika mazingira , maeneo mbalimbali uliopo ili uweze kujitengenezea alama binafsi ya kibiashara. Hivyo daima keti kitako ili uweze kufikiri namna ambavyo utakuwa tofauti na wengine katika mradi wako, kazi au biashara yako.
9. KUWA MUWAJIBIKAJI (be responsible)
Siku zote wanaofanikiwa ni wale wanaowajibika katika shughuli mbalimbali tuzifanyazo. Kumbuka kuwa uwajibikaji ni nguzo ya kibiashara.
Uwajibikaji humfanya mtu kuwa mkweli. Jijengee msingi wa kukiri pale uendapo ndivyo sivyo kwani ni moja ya uwajibikaji.
10. WAAMBIE WATU WAKO KUWA MOYO WAKO UKO WAPI.
Jenga tabia ya kushirikiana na watu tofauti tofauti waliofanikiwa zaidi. Kuwaambia watu wazo lako ni vyema sana kuwashirikisha watu unao waamini na ni waaminifu, yapo mawazo mazuri utakayoyapata toka kwao. Hivyo ili uweze kujitengenezea alama binafsi ya kibiashara ni lazima ujenge tabia ya kuwashirikisha watu wengine mawazo au wazo ulilonalo.
BADO LIPO TUMAINI, Hii ndio kauli mbiu tunayoenda nayo.

Jesus Christ has commanded
and authorized me to commission you.
Alama katika somo hili tunatafsiri kuwa ni Jina kwa ufupi. Jina ulilo nalo huweza kukuletea heshima na fedha katika jamii ikuzungukayo. Heri kuchagua jina jema... Mithali 2:1.
1. LAZIMA UTAFUTE ULINGANIFU (wakati) KATIKA KILA JAMBO NA ULITENDE BILA KUKOSEA (consistent).Tambua kuwa kutengeneza jina au alama ni jambo rahisi mno katika jamii.
Mfano.
wewe ni mfanyabiashara wa duka na umezoea kufungua duka lako saa kumi na moja alfajiri basi daima ukumbuke kuwa hiyo ndiyo iwe kanuni yako na ufanye kwa uhakika bila ya kukosea yaani kiutimilifu.
Tukifanya mambo yetu kwa wakati na kwa ukamilifu (umakini) basi itakuwa ni rahisi kutengeneza alama binafsi ya kibiashara.
Tambua kuwa huwezi kujitengenezea jina katika maeneo yako ya kazi, kipaji chako au biashara yako kama hautakuwa na umakini katika shughuli zako uzifanyazo. Elewa kuwa jina au alama huja kulingana na utendaji wako wa huduma kwa wakati na kufanya kwa wakati.
2. KUWA MWAMINIFU NA MUWAZI KATIKA KILA ULIFANYALO. (be honest).Daima kumbuka kuwa ni mbashiri mwema afanyaye ayasemayo kuwa mwaminifu na muwazi katika shughuli zako uzitendazo. Ukweli utakufanya uweze kutengeneza jina au alama binafsi ya kibiashara. Kumbuka kuwa hakuna kitu kizuri au kibaya kama ushahidi wa mdomo. Hivyo kufanya kazi uliyo nayo kwa uaminifu na uwazi katika kila ufanyalo.
3. KUWA NA MTAZAMO CHANYA. (be positive).
Mtu mwenye mtazamo chanya hufikiria mambo chanya. Kufikiri vitu chanya husaidia kuongelea watu wengine vyema. Jifunze kuongelea vyema (chanya) habari za mtu.
Kumbuka kuwa katika biashara ukimuongelea vibaya mtu mwingine unajiharibia na wewe mwenyewe. Tambua kuwa katika biashara daima masikio ya watu hupenda kusikia taarifa mbalimbali nzuri, zinazovutia. Hivyo mtazamo chanya utakusaidia sana kuufanya moyo au nafsi yako kupunguza hofu na migogoro ya kinafsi katika shughuli zako na utajitengenezea alama binafsi ya kibiashara.
4. SAIDIA WATU (engage others)
Heri kutoa kuliko kupokea. Mkono utoao daima ndio ubarikiwao. Unapotoa daima unajitengenezea alama ya biashara. Ukiwasaidia watu katika mambo mbalimbali hata kwa ushauri au fedha kidogo ama maarifa uliyo nayo ishadari na isibu utakumbukwa na kuombewa mema. Hata ukifa utabaki katika mioyo ya watu.
5. HAKIKISHA UPO MARA ZOTE.
Uwepo wako katika eneo ufanyialo kazi mara kwa mara au eneo la biashara ni daraja moja wapo la kujitengenezea alama binafsi ya kibiashara. Tambua kwamba kuwaachia watu wengine kazi au shughuli zako huweza kupata uharibifu, achana na uvivu nenda kazini au eneo lako la biashara ya kila siku hii itakusaidia sana kuendelea na kujitengenezea alama binafsi ya kibiashara. Uwepo wako katika eneo ulifanyialo biashara una faida sana.
6. AMINI KUWA WEWE UKO SAWA NA MTU MWINGINE.
Kuamini kuwa wewe uko sawa na watu wengine waliofanikiwa kutakusaidia kuanzisha na kufanya kitu kama wao na kufanikiwa katika shughuli zako za kibiashara au kazi.
Kujiamini daima huondoa hofu ya kimazingira au elimu ambayo ni tatizo kubwa.
Kujiamini kwako hujengwa na mazungumzo unayojizungumzia wewe mwenyewe. Kiutaalamu mtu hujiongelea mwenyewe kwa asilimia themanini (80%) wakati asilimia ishirini (20%) ni wengine.
Chunguza namna unavyojiongelea.
7. KUWA WEWE MWENYEWE (be yourself)
Ni kweli kwamba kila mtu ameumbwa na Mungu ila tuna utofauti. Kila binadamu ana upekee wake ambao humtofautisha na mtu mwingine na ndio maana wewe ni wewe tu. Upo uzuri wa kufanya mambo yako kama wewe mwenyewe.
Usijaribu kuishi au kufanya kazi kama mtu mwingine maana unaweza kukwama. Upekee katika ufanyaji wa mambo yako utapata uhuru, kufanikiwa na nguvu hata utakaposhindwa.
8. KUWA M'BUNIFU MWENYE UBUNIFU WENYE TIJA.
Ubunifu ni hali ya kuunda kitu kipya kutokana na mazingira yanayotuzunguka. Hivyo kwa ufafanuzi huo tambua kuwa hakuna jambo jipya.
Mazingira yatuzungukayo ndio tunatakiwa kubuni, ili kujitengenezea jina binafsi la biashara lazima uweze kuwa m'bunifu mwenye ubunifu wenye tija.
Ubunifu huboresha wazo ulilonalo. Tambua ubunifu ni kuwa na nidhamu, kuwa mbunifu katika mazingira , maeneo mbalimbali uliopo ili uweze kujitengenezea alama binafsi ya kibiashara. Hivyo daima keti kitako ili uweze kufikiri namna ambavyo utakuwa tofauti na wengine katika mradi wako, kazi au biashara yako.
9. KUWA MUWAJIBIKAJI (be responsible)
Siku zote wanaofanikiwa ni wale wanaowajibika katika shughuli mbalimbali tuzifanyazo. Kumbuka kuwa uwajibikaji ni nguzo ya kibiashara.
Uwajibikaji humfanya mtu kuwa mkweli. Jijengee msingi wa kukiri pale uendapo ndivyo sivyo kwani ni moja ya uwajibikaji.
10. WAAMBIE WATU WAKO KUWA MOYO WAKO UKO WAPI.
Jenga tabia ya kushirikiana na watu tofauti tofauti waliofanikiwa zaidi. Kuwaambia watu wazo lako ni vyema sana kuwashirikisha watu unao waamini na ni waaminifu, yapo mawazo mazuri utakayoyapata toka kwao. Hivyo ili uweze kujitengenezea alama binafsi ya kibiashara ni lazima ujenge tabia ya kuwashirikisha watu wengine mawazo au wazo ulilonalo.
BADO LIPO TUMAINI, Hii ndio kauli mbiu tunayoenda nayo.
NGUVU YA SADAKA.
Imewekwa na: Mdee Junior Tarehe: 6:09:00 PM / maoni : 0 Fundisho La Msingi
SKIN-CARE BENEFITS OF SUNFLOWER OIL.
Imewekwa na: Mdee Junior Tarehe: 4:55:00 PM / maoni : 0 BENEFITS OF SUNFLOWER OIL
HALISTA ENTERPRISES, The producer & supplier of Sunflower Cooking Oil [Halisi Tanzania Sunflower Oil]
The product will be displayed on the Big Supermarkets, very soon. Get Ready.
Sample will be displayed soon on this site.
Click here to Like Our Page.
Sunflower oil is an excellent source for beta-carotene, a richly pigmented, fat-soluble compound found in certain fruits, vegetables, grains and oils. Beta-carotene can be converted into vitamin A, and this compound possesses many antioxidant properties that can be beneficial to the appearance and health of your skin. Understand the potential side effects of beta-carotene and check with your physician before adding sunflower oil to your diet.
IDENTIFICATION.
Sunflower oil is produced from the seeds of the sunflower plant. It contains vitamin A, which is essential for many of your body's functions, says the University of Maryland Medical Center. Beta-carotene can be produced synthetically from sunflower oil and converted into retinol, which is an ingredient in many anti-aging skin care products, according to the Mayo Clinic. The oil can also be taken in the form of a supplement, as well as purchased in its pure oil form for cooking and topical application. Consult a doctor about the recommended dosage for your age and skin-care needs.
SUN PROTECTION.
Consuming high doses of beta-carotene can make your skin less sensitive to the sun, according to the University of Maryland Medical Center. This is particularly helpful for those with the genetic condition erythropoietic protoporphyria, which causes heightened sun sensitivity. The antioxidants in beta-carotene help to neutralize free radicals that can penetrate your skin and lead to sunburn and other types of sun damage, including skin cancer. However, do not ingest or apply high doses of sunflower oil unless you are under the supervision of a doctor.
ANTI-AGING
The antioxidant properties in sunflower oil can help prevent premature signs of aging. According to Aging Skin Net, exposure to free radicals and sunlight increases the rate at which your skin ages, and it may even cause wrinkles and fine lines to pop up early. The antioxidants found in sunflower oil, along with daily sunscreen, can help reduce your risk of developing premature signs of aging.
CONSIDERATIONS.
Some people may experience a yellowing of the skin while consuming sunflower oil, says the University of Maryland Medical Center, but this typically subsides. Seek medical attention if your discoloration persists or if you notice any other side effects while taking sunflower oil. People who are sensitive or allergic to beta-carotene should avoid sunflower oil or any other form of beta-carotene supplements or topical oils, says the Mayo Clinic.
Warnings
High doses of vitamin A when taken in the form of a supplement can be toxic. Ask your doctor about dosing before you begin consuming sunflower oil in its supplement form. Beta-carotene can also interact with certain medications, such as those used to lower cholesterol, and smokers who consume excess beta-carotene put themselves at risk for developing cardiovascular conditions and lung cancer, says the Mayo Clinic.
Halisi Tanzania Sunflower Oil [ HALISTA ENTERPRISES ].
+255 659 700 002
+255 756 145 417
Subscribe to:
Posts (Atom)
KUWA WAKALA WA BIDHAA ZA KII AFRICA
Mtu yeyote anaruhusiwa kuwa Wakala wa uuzaji wa bidhaa zinazozalishwa na KII AFRICA (T). Wakala wa kawaida atauziwa kwa bei ya punguzo, Wakala ambaye ni mwanachama wa Kii Africa atauziwa kwa bei ya uanachama ambayo ni ya chini zaidi. Jiunge na Kii Africa uwe mwanachama Upate punguzo zaidi. Wasiliana nasi: 0653 100 100
iBooks
- Maarufu
- Maktaba
- Vipengele
Library | Maktaba
- Apr 06 (1)
- Sep 11 (1)
- Aug 14 (1)
- Sep 01 (1)
- Aug 30 (1)
- Sep 23 (1)
- Sep 07 (1)
- Apr 23 (1)
- Apr 20 (1)
- Apr 16 (1)
- Mar 03 (1)
- Nov 13 (1)
- Oct 01 (1)
- May 26 (1)
- May 15 (1)
- May 09 (1)
- Apr 18 (1)
- Apr 10 (3)
- Mar 15 (1)
- Mar 08 (1)
- Feb 26 (1)
- Feb 03 (1)
- Nov 26 (1)
- Oct 21 (3)
- Oct 06 (1)
- Oct 04 (1)
- Sep 26 (1)
- Sep 23 (1)
- Sep 20 (1)
- Sep 16 (1)
- Sep 04 (1)
- Sep 03 (1)
- Sep 01 (1)
- Aug 31 (1)
- Aug 16 (1)
- Aug 13 (1)
- Aug 06 (1)
- Aug 05 (1)
- Aug 03 (1)
- Jul 30 (1)
- Jul 23 (2)
- Jul 22 (1)
- Jul 21 (1)
- Jul 20 (1)
- Jul 16 (1)
- Jul 07 (1)
- Jul 05 (1)
- Jun 27 (1)
- Jun 25 (1)
- Jun 21 (1)
- Jun 16 (1)
- Jun 13 (2)
- Jun 07 (1)
- Jun 05 (1)
- Jun 04 (1)
- May 27 (1)
- May 24 (1)
- May 12 (1)
- May 09 (1)
- Apr 22 (1)
- Apr 20 (1)
- Apr 19 (1)
- Apr 17 (1)
- Apr 11 (1)
- Apr 10 (1)
- Apr 08 (1)
- Apr 07 (1)
- Apr 05 (2)
- Apr 03 (1)
- Mar 29 (1)
- Mar 26 (2)
- Mar 25 (2)
- Mar 19 (1)
- Mar 17 (1)
- Mar 13 (1)
- Mar 05 (1)
- Mar 04 (1)
- Feb 20 (1)
- Feb 19 (1)
- Feb 14 (1)
- Feb 12 (1)
- Feb 10 (1)
- Feb 04 (1)
- Feb 03 (1)
- Jan 30 (1)
- Jan 21 (1)
- Jan 18 (1)
- Jan 14 (1)
- Jan 10 (2)
- Jan 09 (1)
- Jan 08 (1)
- Jan 03 (1)
- Dec 30 (1)
- Dec 12 (1)
- Nov 27 (1)
- Nov 25 (1)
- Nov 24 (1)
- Nov 21 (1)
- Nov 20 (2)
- Nov 19 (1)
- Nov 17 (1)
- Nov 16 (1)
- Nov 15 (1)
- Nov 13 (1)
- Nov 09 (2)
- Nov 07 (1)
- Nov 05 (1)
- Nov 04 (2)
- Nov 03 (1)
WADAU
YALIYOMO
BENEFITS OF SUNFLOWER OIL
Capacity Building Class.
EVENTS
FamareX Products & Co.
Fundisho La Msingi
Habari mpya
HARAKATI ZA BLOG
JICHO LA TOFAUTI
KIOO CHA BLOG
KONA YA WATUMISHI
LAWS OF SUCCESS
MAHUSIANO
MATANGAZO
NUKUU YA LEO
Picha Na Matukio
RADIO
Results 4M4-2014
Riwaya / Hadithi
Speak Up For Orphans
WIMBO WA BLOG
MC LAWRENT MWANTIMWA
KINAPATIKANA MADUKANI
KAMA UNAHITAJI COPY YAKO, TUPIGIE: 0767 228 061 / 0715 228 061
KARIBUNI
UNATENGENEZA: LOGO, CD Cover, STICKER, BUSINESS & ID CARD, MATANGAZO... N.K.
Total Pageviews
KII AFRICA (T).
MITANDAO MINGINE
-
-
JANETH LUSHINGE SALAMA ROHONI MWANGU - Ambatana nasi kwenye ukurasa wetu wa facebook kwa habari zaidi. www.facebook.com/gospelkitaa
-
HIVI NDIVYO RAIS MAGUFULI ANAVYO PENDWA NNCHINI KENYA...MASHABIKI WA VILABU KENYA WATENGENEZA TAWI LA MAGUFULI - [image: https://4.bp.blogspot.com/-POin-ICpMzk/Vxycbod3M9I/AAAAAAAA-ow/5_NzoDtRh4owGE8mr3leX16dBvvT8cwOACLcB/s640/13043528_976655849080443_90653603117684311...
-
-

