Chat Now

HABARI MPYA

FUNDISHO LA MSINGI

PICHA NA MATUKIO

CAPACITY BUILDING CLASS

MAHUSIANO

NUKUU YA LEO

Sijakubaliana na maamuzi ya leo spika kuhusu tuhuma za rushwa dhidi ya wabunge na hatma ya kamati ya nishati na madini. Nitamkatia rufaa. Ripoti yote ya Ngwilizi inapaswa iwekwe hadharani, amenukuu kumbukumbuku alizotaka yeye kuhalalisha maamuzi. Nimeamini bunge haliwezi kujichunguza lenyewe na kutoa maamuzi huru katika masuala yanayohusu wabunge. Aidha, katika suala la ununuzi mafuta mazito ya umeme wa dharura maelezo yamedhihirisha haja ya kuundwa kwa kamati ya bunge kuchunguza mchakato ulivyokwenda kwa makampuni yote kama nilivyopendekeza bungeni kwenye hotuba yangu tarehe 27 Julai, 2012.

John Mnyika.

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:


Juu