Chat Now

HABARI MPYA

FUNDISHO LA MSINGI

PICHA NA MATUKIO

CAPACITY BUILDING CLASS

MAHUSIANO

NUKUU YA LEO

Haya ni moja ya mazungumzo niliyoweza kuzungumza na dada mmoja rafiki yangu kutoka Africa ya Kusini kupitia mtandao wa facebook. Huyu dada (jina nalihifadhi ila nitatumia jina la Leez kuwakilisha jina lake, pia nitatumia John kuwakilisha jina la mume wake) aliwahi kunishirikisha nimuombee juu ya ndoa yake ipate kusimama. Nilifanya hivyo na ikafika kipindi Mungu akaonekana kwao, nakumbuka siku moja alinipigia simu akiwa na mumewe akaniambia 'hivi tulikuwa tunakuzungumzia na mume wangu' ndo mana nimekupigia, nimemwambia mume wangu tupange tuje Tanzania kukutembelea.

Nimeondoa picha yake kwa sababu za msingi.
Mazungumzo yalikuwa hivi;


  • Mdee Junior
    Hi
    Leez
    nice to have you online today....stay blessed!

    Leez.
    i'm glad to have u on line my friend, be blessed!

  • Mdee Junior

    Abundant Life and breakthrough for you Leez, 
    • January 25, 2011
    • Leez
      God Bless you
      You are God send Mdee thanks for your message, i am filing for a divorce Mdee i dont know what to do anymore. I have prayed for John but he just doesn't want to change. I cried a lot on Saturday, he left for work Saturday morning and only came back on Sunday at 1am, he didnt even show remorse, he never even try to explain where he came from. Mdee i really need God's devine intervention but i am going ahead with the divorce but my wish is to stay with my husband but he doesn't love me anymore. i am beautiful and i have NEVER cheated on him i dont even wish to be cause i am God's vessel. Mdee i dont know what to do (crying)

      • Mdee Junior

        Leez, i do understand and wanna see your marriage stands firm, i still praying for you both. One thing i would ask you is to change prayers! From now am gonna pray for the WILL OF GOD TO BE DONE'' as Jesus our Savior did the time He was approaching the Cross! He prayed, Father let your will be done not mine'' ts incredible! Leez, stand firm for the LORD will fight for you to the Destination!

        • Mdee Junior

          He's Jehovah ADONAI ''LORD THE MASTER''
          • Baada ya muda kitambo tukakutana tena mtandaoni, ikawa hivi.
          • Mdee Junior

            How is your family! tell me how is your precious husband doing.
            • Leez

              Eyy my friend things are not looking good that is why I spend most of my time on face book. We are sleeping in different rooms and he doesn't see anything wrong with that. He is so depended on me and gets upset if I can't help him financially. We have a baby now and he doesn't seem interested in the baby either and it looks like he isn't aware that what he is doing is totally wrong

              Inafika mahali mwanandoa anaamua kutafuta faraja facebook. Mungu tusaidie.
              • Mdee Junior

                OOoohh nooo!!!! sorry my dear, so how do you feel. though i hesitate to ask such a question!

                Hapa alikaa kimya kidogo bila kujibu chochote. Nikaendelea kuchokonoa...
                • Mdee Junior

                  my friend, i know how painful ts but the end has come n u shall cry no more! You just TRUST THE LORD n show appreciation to him (husband)

                  Hapa anafunguka na kuanza kuzungumza, nahisi alikuwa analia...
                  • Leez

                    That is exactly what I'm doing Mdee. I prayed for my partner before I got married. He is the only man I have know so if this is what God want me to have then I accept but I will keep on praying for him. I used to cry but not anymore I don't think I'm capable of loving anymore I just live to see my children grow but one day God will answer me I don't know how but he shall answer my prayers
                    • February 25, 2012 Muda ulipita kidogo bila mawasiliano, mara tunakutana tena mtandaoni.
                    • Mdee Junior

                      hello my dear sis.
                      • Leez

                        Hey Mdee how are you my brother I miss our interactions a lot
                        • Mdee Junior

                          i'm highly favored, how are kids doing?
                          • February 28, 2012
                          • Leez

                            They are great my brother and also growing strong in the Lord, they are my angels I luv and appreciate them.
                            • April 11, 2012
                            • Mdee Junior

                              IS IT REALLY YOU? Hapa nalimuuliza kwa mshangao kwa sababu ilikuwa ni miezi kadhaa imepita bila mawasiliano.
                              • Leez

                                What did I do now my friend lol
                                • Mdee Junior

                                  nothing, just greetings en happy to meet u online! how are you my friend!
                                  • Leez

                                    I'm good Mdee and u. Its been long since we chat I miss that I will definitely call u 2morrow

                                    Kama nilivyokuwa nimezungumza hapo awali, ni kweli siku iliyofuata alinipigia simu akiwa na mumewe.
                                    • July 5, 2012   Miezi kadhaa ikapita, tukakutana tena mtandaoni.
                                    • Mdee Junior

                                      hello friend!
                                      • Leez

                                        Hi Mr how are you
                                        • Mdee Junior

                                          am gud missing you.
                                          • Leez

                                            Also miss you my friend
                                            • Mdee Junior

                                              thanks frnd
                                              • Leez

                                                It's been long since we chat I miss that a lot
                                                • Mdee Junior

                                                  yes i know, that's why some times i tried to call.
                                                  i understand the connection we have between us, Godly connection.
                                                  • HUYU DADA ANA MIAKA NANE KWENYE NDOA, AMEFIKA MAHALI AMEKATA TAMAA ANATAMANI TALAKA.
                                                  • KUNA USHUHUDA ALIWAHI KUNIANDIKIA KITU MUNGU ALIFANYA KWA MUMEWE, MUNGU ALIFUNUA TATIZO LILIPO, IKAMFANYA AWEZE KUOMBA MAOMBI YA KULENGA. NITAUTAFUTA HUO USHUHUDA HALAFU NITAKUSHIRIKISHA MANA NI TAKRIBANI MIAKA MIWILI ILIYOPITA KAMA SIO MWAKA MMOJA.
                                                  • PIA NITAMTAFUTA KWENYE SIMU NIMUULIZE NDOA IMEFIKIA WAPI, KWANI SIMPATI facebook, amekuwa kimya sana; inawezekana ni majukumu ya kazi kwani alinishirikisha kuna mahali alikuwa aende kufanya interview hivyo tukaomba; akafanya interview akafaulu na kupata ajira.

                                                  Rafiki yangu unayefuatilia blog hii hasa katika segment ya KONA YA WATUMISHI, hebu tafakari kwa kina, jiweke katika nafasi ya huyu dada kisha jiulize swali hili: JE! NINGEFANYA NINI?

                                                  Namshukuru Mungu kwa ajili ya huyu dada (yeye ni mzaliwa wa Afrika Ya Kusini), kiukweli amemshika Mungu sana vinginevyo tungerejea ile tamthilia ama riwaya ya ''THINGS FALL APART''

                                                  Ukiguswa na hali anayopitia huyu dada, piga goti muombee kwa machozi na kwa kuugua!


                                                  Nakupenda, Mungu akuongeze na kukuzidisha!
                                                  AMINA!


                                                  +255 659 700 002
                                                  +255 756 145 417
                                                  mdeejunior@gmail.com (barua pepe)
                                                  mdee.junior (skype)
                                                  @ mdee_junior (twitter)


                                                  TUNAKARIBISHA MAONI NA USHAURI KUHUSU BLOG HII, Tumia mawasiliano hapo juu
                                                  au andika comment yako/maoni yako hapa chini. 


                                                  DREAM BIG AS YOU GROW BIG.




                                                  «
                                                  Next
                                                  Newer Post
                                                  »
                                                  Previous
                                                  Older Post

                                                  No comments:


                                                  Juu