Tuesday, March 18, 2025

Chat Now

HABARI MPYA

    FUNDISHO LA MSINGI

      PICHA NA MATUKIO

        CAPACITY BUILDING CLASS

          MAHUSIANO

            NUKUU YA LEO

            NUKUU YA LEO



            Maombi yako yanahitajika ili Mungu amponye mwimbaji wa muziki wa injili nchini Debora John Saidi ambaye hali yake inaelezwa kwamba si nzuri nasasa yuko chumba cha upasuaji hospitali ya Mwananyamala kuondolewa uvimbe mkubwa tumboni ambao umesababisha alie kwa maumivu makali.

            Upasuaji wa kutoa uvimbe huo ulitarajiwa kufanyika kesho, lakini kutokana na maumivu pamoja na kilio kutoka kwa mwimbaji huyo imebidi kupelekwa chumba cha upasuaji mchana huu. Ambapo mchana wa leo baadhi ya waimbaji wenzake akiwemo Joshua Makondeko, Tumaini Njole walifika hospitalini hapo kumjulia hali. Mdau wangu sema neno la uponyaji kwa ajili ya Debora John Saidi.
            Zaburi 103:3-4.





            Source: GK.

            Debora akilishwa kabla ya kupelekwa chumba cha upasuaji.
            Mungu akuponye Debora.



            Joshua Makondeko akimnywesha maji Debora.

            «
            Next
            Newer Post
            »
            Previous
            Older Post

            No comments:


            Juu