Chat Now

HABARI MPYA

FUNDISHO LA MSINGI

PICHA NA MATUKIO

CAPACITY BUILDING CLASS

MAHUSIANO

NUKUU YA LEO

NDOA INAPOGEUKA KUWA NDOANA.

Haya ni moja ya mazungumzo niliyoweza kuzungumza na dada mmoja rafiki yangu kutoka Africa ya Kusini kupitia mtandao wa facebook. Huyu dada (jina nalihifadhi ila nitatumia jina la Leez kuwakilisha jina lake, pia nitatumia John kuwakilisha jina la mume wake) aliwahi kunishirikisha nimuombee juu ya ndoa yake ipate kusimama. Nilifanya hivyo na ikafika kipindi Mungu akaonekana kwao, nakumbuka siku moja alinipigia simu akiwa na mumewe akaniambia 'hivi tulikuwa tunakuzungumzia na mume wangu' ndo mana nimekupigia, nimemwambia mume wangu tupange tuje Tanzania kukutembelea.

Nimeondoa picha yake kwa sababu za msingi.
Mazungumzo yalikuwa hivi;


  • Mdee Junior
    Hi
    Leez
    nice to have you online today....stay blessed!

    Leez.
    i'm glad to have u on line my friend, be blessed!

  • Mdee Junior

    Abundant Life and breakthrough for you Leez, 
    • January 25, 2011
    • Leez
      God Bless you
      You are God send Mdee thanks for your message, i am filing for a divorce Mdee i dont know what to do anymore. I have prayed for John but he just doesn't want to change. I cried a lot on Saturday, he left for work Saturday morning and only came back on Sunday at 1am, he didnt even show remorse, he never even try to explain where he came from. Mdee i really need God's devine intervention but i am going ahead with the divorce but my wish is to stay with my husband but he doesn't love me anymore. i am beautiful and i have NEVER cheated on him i dont even wish to be cause i am God's vessel. Mdee i dont know what to do (crying)

      • Mdee Junior

        Leez, i do understand and wanna see your marriage stands firm, i still praying for you both. One thing i would ask you is to change prayers! From now am gonna pray for the WILL OF GOD TO BE DONE'' as Jesus our Savior did the time He was approaching the Cross! He prayed, Father let your will be done not mine'' ts incredible! Leez, stand firm for the LORD will fight for you to the Destination!

        • Mdee Junior

          He's Jehovah ADONAI ''LORD THE MASTER''
          • Baada ya muda kitambo tukakutana tena mtandaoni, ikawa hivi.
          • Mdee Junior

            How is your family! tell me how is your precious husband doing.
            • Leez

              Eyy my friend things are not looking good that is why I spend most of my time on face book. We are sleeping in different rooms and he doesn't see anything wrong with that. He is so depended on me and gets upset if I can't help him financially. We have a baby now and he doesn't seem interested in the baby either and it looks like he isn't aware that what he is doing is totally wrong

              Inafika mahali mwanandoa anaamua kutafuta faraja facebook. Mungu tusaidie.
              • Mdee Junior

                OOoohh nooo!!!! sorry my dear, so how do you feel. though i hesitate to ask such a question!

                Hapa alikaa kimya kidogo bila kujibu chochote. Nikaendelea kuchokonoa...
                • Mdee Junior

                  my friend, i know how painful ts but the end has come n u shall cry no more! You just TRUST THE LORD n show appreciation to him (husband)

                  Hapa anafunguka na kuanza kuzungumza, nahisi alikuwa analia...
                  • Leez

                    That is exactly what I'm doing Mdee. I prayed for my partner before I got married. He is the only man I have know so if this is what God want me to have then I accept but I will keep on praying for him. I used to cry but not anymore I don't think I'm capable of loving anymore I just live to see my children grow but one day God will answer me I don't know how but he shall answer my prayers
                    • February 25, 2012 Muda ulipita kidogo bila mawasiliano, mara tunakutana tena mtandaoni.
                    • Mdee Junior

                      hello my dear sis.
                      • Leez

                        Hey Mdee how are you my brother I miss our interactions a lot
                        • Mdee Junior

                          i'm highly favored, how are kids doing?
                          • February 28, 2012
                          • Leez

                            They are great my brother and also growing strong in the Lord, they are my angels I luv and appreciate them.
                            • April 11, 2012
                            • Mdee Junior

                              IS IT REALLY YOU? Hapa nalimuuliza kwa mshangao kwa sababu ilikuwa ni miezi kadhaa imepita bila mawasiliano.
                              • Leez

                                What did I do now my friend lol
                                • Mdee Junior

                                  nothing, just greetings en happy to meet u online! how are you my friend!
                                  • Leez

                                    I'm good Mdee and u. Its been long since we chat I miss that I will definitely call u 2morrow

                                    Kama nilivyokuwa nimezungumza hapo awali, ni kweli siku iliyofuata alinipigia simu akiwa na mumewe.
                                    • July 5, 2012   Miezi kadhaa ikapita, tukakutana tena mtandaoni.
                                    • Mdee Junior

                                      hello friend!
                                      • Leez

                                        Hi Mr how are you
                                        • Mdee Junior

                                          am gud missing you.
                                          • Leez

                                            Also miss you my friend
                                            • Mdee Junior

                                              thanks frnd
                                              • Leez

                                                It's been long since we chat I miss that a lot
                                                • Mdee Junior

                                                  yes i know, that's why some times i tried to call.
                                                  i understand the connection we have between us, Godly connection.
                                                  • HUYU DADA ANA MIAKA NANE KWENYE NDOA, AMEFIKA MAHALI AMEKATA TAMAA ANATAMANI TALAKA.
                                                  • KUNA USHUHUDA ALIWAHI KUNIANDIKIA KITU MUNGU ALIFANYA KWA MUMEWE, MUNGU ALIFUNUA TATIZO LILIPO, IKAMFANYA AWEZE KUOMBA MAOMBI YA KULENGA. NITAUTAFUTA HUO USHUHUDA HALAFU NITAKUSHIRIKISHA MANA NI TAKRIBANI MIAKA MIWILI ILIYOPITA KAMA SIO MWAKA MMOJA.
                                                  • PIA NITAMTAFUTA KWENYE SIMU NIMUULIZE NDOA IMEFIKIA WAPI, KWANI SIMPATI facebook, amekuwa kimya sana; inawezekana ni majukumu ya kazi kwani alinishirikisha kuna mahali alikuwa aende kufanya interview hivyo tukaomba; akafanya interview akafaulu na kupata ajira.

                                                  Rafiki yangu unayefuatilia blog hii hasa katika segment ya KONA YA WATUMISHI, hebu tafakari kwa kina, jiweke katika nafasi ya huyu dada kisha jiulize swali hili: JE! NINGEFANYA NINI?

                                                  Namshukuru Mungu kwa ajili ya huyu dada (yeye ni mzaliwa wa Afrika Ya Kusini), kiukweli amemshika Mungu sana vinginevyo tungerejea ile tamthilia ama riwaya ya ''THINGS FALL APART''

                                                  Ukiguswa na hali anayopitia huyu dada, piga goti muombee kwa machozi na kwa kuugua!


                                                  Nakupenda, Mungu akuongeze na kukuzidisha!
                                                  AMINA!


                                                  +255 659 700 002
                                                  +255 756 145 417
                                                  mdeejunior@gmail.com (barua pepe)
                                                  mdee.junior (skype)
                                                  @ mdee_junior (twitter)


                                                  TUNAKARIBISHA MAONI NA USHAURI KUHUSU BLOG HII, Tumia mawasiliano hapo juu
                                                  au andika comment yako/maoni yako hapa chini. 


                                                  DREAM BIG AS YOU GROW BIG.




                                                  THREE - FOUNDATIONAL PRINCIPLES TO DEVELOP A PROFITABLE BUSINESS.

                                                  Hello brethren in Christ Jesus,
                                                  Would like to share with you briefly the three foundational principles to develop a profitable business.






                                                  1. Acceptability.
                                                    God given a right to increase at what you (I) do. Increase is a power of God's plan. The plan of God is to increase.
                                                  God is not the God of decrease but the God of increase. His plan for me and you is that we increase in our business/professional life.

                                                     It is the sin to stay at the bottom.
                                                     It is not evil to begin small but it is evil to remain small.

                                                  2. Willing To Change.
                                                    You must be willing to change in order for you to experience change.
                                                  Not where you are but who you are because who you are changes where you are; you can be a success in the desert, in the wilderness, in any dry place, you can prosper anywhere you are if you know who you are.
                                                    It is not your locality but it's your Identity.
                                                  Identity in CHRIST changes your locality in life. What man needs is a discovery. Positive discovery brings positive recovery.

                                                    Jesus was involved in business; His powerful statement - '' I must be about my father's business'', means-His business was to fulfill the assignment of His Father and that was to bring hope, liberation and lifting to humanity.
                                                    So whenever you involve in anything that brings about profit in our life and help to bring service to humanity that is a BUSINESS.

                                                  Proverbs 14:23
                                                    In all labor there is profit, but idol talk leads on little poverty.
                                                  -The men wasn't designed to work for nothing.
                                                  -Everything you do - is the sign to progress. If you involved in life and what you are doing is not profitable it is an indicator that you are involved in the wrong thing.
                                                  -You are not born to be failure on what you do; you were designed for profit.

                                                  3. Apostolic Anointing.
                                                    Church Changing.
                                                  * We don't gonna church to have a good time, to feel good bounds/bumps, to fall down.
                                                  * We come to church - to be changed, to be adjusted, to be corrected, to be up-graded, to be re-defined.
                                                  * We come to church to live at better humans; thus why we're here.
                                                  * We're not here to be blessed - we're here to change (in the church).

                                                  Blessings.
                                                  - Big revelation; you're blessed, you shall be blessed on coming and going, in the field, in the city- you're blessed.
                                                  - So you're not here to be blessed - you're already blessed.

                                                  About A Church.
                                                   A church is not a building - a building doesn't make a church, but we're a church ( Ephesians 4:16).

                                                  Grace.
                                                   Is a divine impact, a divine resource upon the heart that will eventually depending on the way you live.
                                                  Is a divine resource, it's a spiritually Energy we're given according to the measure of the gift of CHRIST.

                                                  Hallellujah, Glory to the Most High God!
                                                  May you have a good time to meditate on it and become what God designed you to be in Jesus Mighty Name, Amen.

                                                  Contact us:
                                                  +255 659 700 002
                                                  +255 756 145 417
                                                  mdeejunior@gmail.com (email)
                                                  mdee.junior (skype)
                                                  @mdee_junior (twitter)


                                                  DREAM BIG AS YOU GROW BIG.

                                                  KONA YA WATUMISHI: Kutoka kurasa za facebook na groups mbalimbali.

                                                     Hiki ndicho alichofundisha mtumishi wa Mungu Gasper Madumla kupitia page yake ya NENO LA MTUMISHI. Blog hii imeona vema kukushirikisha nawe upate kile Mungu anataka upokee siku ya leo na ndio kusudi la blog hii. Karibu twende pamoja.

                                                     Pia mtumishi wa Mungu Upendo Benson, na Mary Muna katika kurasa zao za facebook wamezungumza kitu ambacho kitakusaidia kutafakari. Upendo Benson ametoa dondoo (highlight) fupi juu ya mahusiano, ni kazi yako kupanua akili na ufahamu wako juu ya kile ambacho ametoa kama highlight.
                                                  KARIBU.


                                                  Mtumishi Gasper Madumla

                                                  Bwana Yesu asifiweee……

                                                   NENO:SIMAMA IMARA UKAUONE WOKOVU WA BWANA.
                                                  Ninanakusalimu mpendwa katika jina la Yesu Kristo aliye hai,nikimuomba Bwana Mungu afungue moyo wako ili upate kupokea hiki ninachokuletea siku ya leo,maana ujumbe huu umekusudiwa kwako wewe mpendwa usomaye ujumbe huu, na wala si mwingine aliyekusudiwa bali ni wewe.
                                                  Ninakuhakikishia kabisa endapo utafanikiwa kusoma mpaka mwisho,Mungu atakufanyia jambo,nawe utapenya kupitia somo hili,litakuwa Baraka sana kwa kila atakayesoma.

                                                  Wokovu wa Bwana haupatikani kwa njia nyepesi. Maaana hata maandiko yanatuambia kwamba -yeye takayevumilia hata mwisho ndio atakaye okoka. 

                                                  Swala la kuokoka ni jambo la muda mfupi sana yaani ni dakika tu pale utakapokuwa umeongozwa sala ya toba na kumaliza,ila kuna maisha mengine baada ya hapo,hayo maisha ni WOKOVU. 

                                                  Na tunaokoka ili tufanye kazi ya Mungu,na sio kwenda mbinguni tu,maana ingekuwa swala ni kwenda mbinguni tu,basi watu wote waliokoka wangekuwa wamekufa tangu siku ile walipookoka,BALI WAPO HAI ILI WAYAFANYE MAPENZI YA BABA NA MWISHO NDIO WAFIKE MBINGUNI. Halleluyaaa..

                                                  • Maisha ya wokovu ni mchakato wa maisha ya utauwa
                                                  • Utauwa ni maisha ya kumlingana na Mungu,yaani maisha ya UTAKATIFU
                                                  • Na kumbuka bila huo utakatifu hakuna atakaye muona Mungu,( Waebrania 12 :14 )
                                                  Kumbe ! Yatupasa tuwe watakatifu kwanza ili tuweze kumuona Mungu, Watu wengi utawasikia “ Jamani nimemuona Mungu kwa njia tofauti tofauti, Hali wao si WATAKATIFU,maisha yao yamejaa dhambi tupu,HAPO HAKUNA MUNGU LABDA KUNA mungu . Kuna tofauti kubwa sana kati ya Mungu na mungu,

                                                  ^ Mungu = Baba wa Mbinguni aliye hai,Jehova, MUNGU MWENYE NGUVU
                                                  ^ mungu = miungu ya wapagani,anaweza labda kuwa ngombe,n.k HANA UTUKUFU

                                                  Wewe mpendwa endapo utasimama imara kuutafuta uso wa Mungu, Hakika utauona wokovu wa Mungu, na hapo utakuwa ni wa tofauti na pale ulivyokuwa kabla.

                                                  Tunasoma KUTOKA 12 : 1-2

                                                  “ Bwana akanena na Musa na Haruni katika nchi ya Misri, akawaambia, 
                                                  Mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi kwenu; utakuwa ni mwezi wa kwanza wa mwaka kwenu. ”

                                                  Hawa wana wa Israel walikuwa utumwani muda wa miaka 430 (Kutoka 12 : 40 ) ila Mungu alikuwa ana haja nao,Haja ya Mungu ilikuwa anataka ajitwalie utukufu kupitia wao waende kumuabudu Mungu aliye hai,

                                                  Kumbuka Mungu akiwa na haja na wewe ni lazima atakupata tu,na atakupandisha juu pindi utakapo tii sauti yake kwa BIDII 

                                                  Tunasoma Luka 19 : 29-31

                                                  “ Ikawa alipokaribia Bethfage na Bethania, kwenye mlima uitwao wa Mizeituni, alituma wawili katika wale wanafunzi, 
                                                  akisema, Nendeni mpaka kijiji kile kinachowakabili, na mtakapoingia ndani mtaona mwana-punda, amefungwa, ambaye hajapandwa na mtu ye yote bado, mfungueni mkamlete hapa. 
                                                  Na kama mtu akiwauliza, Mbona mnamfungua? Semeni hivi, Bwana anamhitaji. ”

                                                  Huyu Punda alikuwa kifungoni yaani alikuwa amefungwa katika NIRA ambayo kwa hiyo alikuwa hana uwezo wa kufanya chochote kile atakacho kufanya isipokuwa ni kufanya yele atakayo bwana wake aliyemfunga.

                                                  Halleluuyaaa…

                                                  Punda wa sasa anawaeza kuwa wewe,ikiwa umefungwa yaani hauwezi kufanya chochote kile utakacho na kufanikiwa BASI UPO KIFUNGONI shetani yeye ufunga watu,

                                                  Sasa tazama pale Yesu anasema “ 31” na alipofunguliwa huyu punda tunaona anatandikiwa nguo zao njiani naye huyo punda anapita kwa heshima kubwa kabisa ambayo hapo mwanzo alikuwa hawezi kuipata kabisaa,kwa sababu alikuwa AMEFUNGWA 

                                                  Tena huyo punda baada ya kufunguliwa na Yesu,Bwana Yesu Kristo akampanda,akaka juu yake huyo punda na watu woteee wakapaza sauti zao kwa kelele za shangwe 

                                                  Maana tena walikuwa hawamuoni punda bali wanamuona Yesu wa nazareti aliye hai akitembea juu ya punda,MAANA YEYOTE YULE ALIYEMBEBA YESU,SI YEYE ATAKAE ONEKANA BALI NI YESU NDIE ATAKAYEONEKANA BADALA YAKE, 

                                                  NA MTU HUYU NI YULE ALIYESIMAMA IMARA KATIKA MAISHA YA UTAUWA ,NA WATU WATAKUPA KIBALI NA HESHIMA KUU, SABABU SI WEWE BALI NI YESU JUU YAKO.

                                                  Ooooh,HALLELUYAAAAAA,
                                                  Mtu mmoja aseme AMEN,

                                                  Najisikia nikuhubirie zaidi,THANKS JESUS 
                                                  Kwa kukufanya wewe kuendelea kusoma ujumbe huu,hakika Bwana Yesu ana haja na wewe,maana wewe ni kama huyo mwanapunda ambaye Yesu alikuwa ana haja naye.

                                                  Sasa turudi katika andiko la kwanza
                                                  KUTOKA 12 : 1-2

                                                  Hawa wana wa Israel baada ya kuishi miaka mingi namna hiyo tunaona Mungu anawaambia kwamba mwezi huu utakuwa ni ni mwezi wa kwanza wa miaka kwao,

                                                  hii inamaanisha siku ile ndio ilikuwa haswaaa ni siku ya kuokoka kwao, maana hata miezi ilibadilika,miaka pia ilibadilika, KWA SABABU HII “ YAKALE YAMEPITA YAMEKUWA MAPYA” Yaani mtu yeyote mwenye dhambi akija kwa Yesu Kristo mtu huyo anafanyika mpya na Bwana Mungu azikumbuki tena dhambi zake.

                                                  • Ukisimama imara utauona wokovu wako
                                                  JAMANI MAMBO MENGINE HUJALOGWAAA!
                                                  BALI TU ,MUNGU ANATAKA UMTUMIKIE ILI NA YEYE AKUPIGANIE.

                                                  Tunasoma Kutoka 14 : 13
                                                  “ Musa akawaambia watu, Msiogope, simameni tu, mkauone wokovu wa Bwana atakaowafanyia leo; kwa maana hao Wamisri mliowaona leo hamtawaona tena milele. ”

                                                  Ninakuambia hivi ;
                                                  Kwa yale makwazo yanayokufanya ushindwe kupokea ahadi za Mungu,leo ndio mwisho wake na hutayaona tena endapo utamaanisha kulichukua somo hili na kulifanyia kazi
                                                  Maana njia ni moja tu ,nayo ni YESU KRISTO PEKEE yeye ndio njia na kweli.

                                                  Tazama mstari huo,Mungu anasema “ USIWAOGOPE HAO WAMISRI ”
                                                  • Magonjwa uliyonayo ni wamisri
                                                  • Kufungwa Kutokuolewa/kuoa ni wamisri
                                                  • Kudumaa kiroho ni wamisri tu
                                                  • Ugumu wa maisha ni wamisri tu N.K

                                                  HAYO YOTE USIYAOGOPE WEWE SIMAMA NA YESU KRISTO UKIMTUMIKIA KWA FURAHA ZOTE,MAANA HAO WAMISRI HAUTAWAONA TENA KATIKA JINA LA YESU KRISTO,POKEA…..

                                                  Ni ombi langu kwako kuwa,Wakati uombapo usiwe unapenda kuomba mambo ya maisha yanayoharibika,na yenye kupita mfano kuomba kila wakati MUME,MKE,KUJENGA,KUPATA KAZI,KUNUNUA GARI,KUPANDISHWA KAZI NA MAMBO KAMA HAYO, 

                                                  Bali wewe taka sana mambo ya rohoni naye yote utazidishiwa omba MUNGU AKUFUNGUE MACHO YA ROHONI,.AKUPE NJAA YA KUMTAFUTA,NA YOTE YA ROHONI,NA HAPO NDIPO UTAWEZA KUSIMAMA IMARA UKAUONE WOKOVU WAKO.




                                                  • Kipengele kinachoitwa kupenda hakina professor wala Dr wala mwalimu wala mtaalam wala police wala rais wala waziri... ukishapenda tu wewe baaasi.... ikifika pa kutendwa utatendwa tu, pa kufanywa zoba utakua zoba tu, pa kudanganywa utadanganywa tu, pa kulizwa utalizwa tu, pa kusalitiwa utasalitiwa tu.. kwenye kipengele hiki cheo hakina kazi na ujanja wako unawekwa kapuni.



                                                    Give all of you to Jesus...and He will make what you think is nothing...into something. What you keep from Jesus-keeps you in confinement...what you give to Jesus-is what defines you. Give Him what you have so He can define you! (John 1:3).



                                                  Mungu awabariki kwa kufuatilia blog hii.
                                                  Tunakaribisha maoni kuhusu blog hii.

                                                  Wasiliana nasi kwa:

                                                  +255 659 700 002
                                                  +255 756 145 417
                                                  mdeejunior@gmail.com (email)
                                                  @mdee_junior (twitter)
                                                  mdee.junior (skype)

                                                  DREAM BIG AS YOU GROW BIG.


                                                  Juu