Chat Now

HABARI MPYA

FUNDISHO LA MSINGI

PICHA NA MATUKIO

CAPACITY BUILDING CLASS

MAHUSIANO

NUKUU YA LEO

Afya Ya Mahusiano


Kama ilivyo afya ya mwili bila magonjwa ndivyo ilivyo afya ya mahusiano.

Tunapenda kukukaribisha kwenye darasa letu la AFYA YA MAHUSIANO kwa njia ya WhatsApp LiveChat Group.

Njoo ujifunze jinsi unaweza kuyajenga na kuyafanya mahusiano yako yawe na afya itakayokufanya ufurahie kuwepo kwenye mahusiano hayo.

Darasa ni kwa ajili ya watu kuanzia miaka 18+,  singles | wachumba | walioko kwenye ndoa.
Usikose darasa hili litakufungua sana.

Walimu wapo tayari kukufundisha.
Tutumie namba yako ya WhatsApp kwenda namba 0620 435 933 ukianza na neno "afya ya mahusiano"


Tukutane darasani tujenge mahusiano yenye afya.

Walimu:
Ms Eva E.M &
Mr. Mdee B.F
_________________
Copyright:
fEmTanzania | Rafiki255 Tuzungumze.

WATOTO YATIMA NA WALIO NA MAZINGIRA MAGUMU



WASEMEE FOUNDATION:
Ni Huduma/Taasisi - (Non-Profit Organisation).

Tunajihusisha katka kuwafikia watoto yatima na wale walio na mazingira magumu popote Tanzania.
Tunatambua kuwa kazi / huduma hii ni ya kijamii na inagusa jamii yote ya Watanzania.

Hivyo basi,
Ukiwa kama MDAU mwenye mapenzi mema kwa watoto wa kundi hili na katika kufanikisha lengo la huduma hii - tunaamini kabisa kwamba mahali ulipo/unakoishi au kwenye jamii inayokuzunguka yumkini wapo watoto yatima na wale walio na mazingira magumu.
"WASEMEE FOUNDATION" Tunakuomba endapo kuna yatima na walio na mazingira magumu na kiukweli unaona kabisa kwamba wapo kwenye uhitaji basi tunaomba uwasiliane nasi - tupe taarifa ili ikiwezekana tufike hapo walipo tuzungumze nao.
Ukifanya hivyo MUNGU wa mbinguni atakubariki sana na atakuzidishia neema yake ya pekee.

Wasiliana nasi kwa namba hizi:

Piga/SMS >>> 0653 100 100
WhatsApp >>> 0788 630 639
Lakini pia milango ipo wazi kwa yeyote anayependa ku support watoto yatima na walio na mazingira magumu.
Kauli Mbiu  Yetu:
"Gusa Maisha Ya Yatima, Gusa Moyo Wa Mungu"

Bonyeza https://www.facebook.com/wasemee3189 uweze ku LIKE ukurasa wetu wa Facebook pia Share na wengine, utabarikiwa  zaidi.

Imetolewa Na.
Mkurugenzi wa huduma,
Wasemee Foundation.
TANZANIA.

Kilimo Cha Matikiti Maji.

KILIMO CHA MATIKITI MAJI KIBIASHARA:

Ni hakika kabisa kwamba unatamani kutoka hapo ulipo na kufikia malengo/mafanikio.
Hata kama umeshaanza kuyaonja mafanikio nina uhakika unatamani kwenda mbali zaidi.

Kwenye ukurasa wetu wa Facebook utajifunza kuhusu kilimo maarufu hapa nchini kwetu Tanzania - 'Kilimo Cha Matikiti Maji'. Kila mkulima kwa sasa anazungumzia kilimo cha tikiti maji.

Kwa nini kilimo hiki kinapendwa sana?.
1. Ni kilimo cha muda mfupi ( kati ya miezi miwili hadi mitatu )
2. Kilimo hiki hakina msimu - mkulima anaweza kulima hata mara nne kwa mwaka.
3. Pamoja na changamoto za hapa na pale, kilimo hiki kinakupatia pesa nzuri sana endapo utafuata kanuni pamoja na kulilenga soko (timing ya soko).

Tunaamini ukiamua kujifunza kupitia ArethaGreens utaweza  kujipatia faida kubwa kwenye zao hili.
Hata kama huna mtaji wa kuanzia, mnaweza kujiunga kwenye vikundi visivyozidi watu 10 kwa kila kikundi.

Like ukurasa wetu wa Facebook upate taarifa/updates mbalimbali na ushauri wa kitaalam.

Bonyeza Link hii uweze Ku LIKE PAGE YETU.
https://www.facebook.com/arethagreenstz

ArethaGreens,
Iringa, Tanzania.
0620 435 933

Ushauri, Maombi na Maombezi.

Listen to Ufahamu sahihi Maisha sahihi by Rafiki255 Tuzungumze #np on #SoundCloud https://soundcloud.com/rafiki255/karibu-shule-ya-fikra

Sikiliza Wimbo wa GoodLuck Gozbert - Ipo Siku.

Listen to Goodluck Gozbert - Ipo siku .mp3 by Rafiki255 Tuzungumze #np on #SoundCloud https://soundcloud.com/rafiki255/goodluck-gozbert-ipo-siku-mp3

UNGA BORA WA LISHE - Kutoka FamareX Products & Co..


FAMAREX - The Home Of Natural Products.

Mara nyingi umekutana na unga wa lishe wa aina tofauti tofauti na watengenezaji/waandaaji tofauti tofauti na mchanganyiko tofauti tofauti wa nafaka.

Lakini ukweli ni kwamba watu wengi hawana/wamekosa Elimu sahihi kuhusu Lishe sahihi yenye mchanganyiko wa nafaka sahihi kwa uwiano/ration sahihi.

Lishe yeyote isipozingatia uwiano sahihi wa mchanganyiko wa nafaka na aina ya nafaka inayotumika - Ni ukweli kwamba italeta madhara makubwa kiafya; kwa watoto hata watu wazima.
FamareX Products Imekuja na majibu sahihi yatakayosababisha/leta KICHEKO KWA FAMILIA yako na/au mtu mmoja mmoja.

Unga Bora wa Lishe uliotengenezwa/andaliwa na FamareX Products umezingatia mambo yote muhimu - Aina ya nafaka, Idadi/kiwango cha nafaka na uwiano kati ya nafaka moja hata nyingine.

ANGALIZO/USHAURI WA KITAALAM: 
1. Ukienda kununua unga wa lishe alafu ukakuta umechanganywa na karanga, USINUNUE.
2. Kama utanunua unga wa lishe kwa ajili ya matumizi ya mtoto wa umri chini ya miaka miwili alafu ukakuta Lishe hiyo ina mchanganyiko wa nafaka zaidi ya mbili, USINUNUE.
SABABU ZA KIAFYA:
  • Karanga ni nzuri endapo mtumiaji atafuata utaratibu unaotakiwa kiafya. Karanga iliyosagwa inatakiwa itumike ndani ya siku saba; zaidi ya hapo inakuwa na madhara mwilini/kiafya.
  • Karanga ikikaa zaidi ya siku 7 (saba) ina kawaida ya kuweka/ota fungus; hivyo hushambulia/huleta/sababisha madhara kwenye figo. Ili utumie karanga kwenye Lishe yako hakikisha unasaga kiasi pembeni itakayotosheleza muda wa siku saba, hivyo wakati wa kupika uji wako ndipo utakuwa unaongezea karanga uliyoiandaa.
  • Lishe yenye nafaka zaidi ya mbili si nzuri kwa afya ya mtoto chini ya miaka miwili kwa sababu mfumo wake wa mmeng'enyo/digestion system haina uwezo wa kumeng'enya nafaka nyingi kitu ambacho kitamsababishia mtoto asipate choo vizuri na utaupa kazi kubwa mfumo wa umeng'enyaji chakula.

JIPATIE SASA KWA AFYA YAKO NA FAMILIA YAKO.
Unga huu wa Lishe unapatikana kwenye ujazo wa nusu kilo ( 500g ) na kilo moja ( 1Kg ).
Kwa mauzo ya Jumla na Reja Reja.
Pia Tunapokea Oda mahali popote ( DAR na MIKOANI ).

WASILIANA NASI:
Simu: 0659 700 002 / 0766 730 360
Barua Pepe: famarexproducts@gmail.com


Ipe Familia Yako Kicheko kwa kuipatia Lishe Bora.

Mkurugenzi,
FamareX Products & Co.
P.O.Box 7331, D'salaam, Tz.
+255 659 700 002

AFYA TEA SPICE KWA AFYA BORA

 
FAMAREX PRODUCTS & CO.
The Home Of Natural Products.


Tunapenda kuitambulisha bidhaa bora kabisa ijulikanayo kama ''AFYA TEA SPICE''
 
Afya Tea Spice ni moja kati ya bidhaa za FamareX iliyojipatia umaarufu kwa virutubisho asilia, hukupa afya bora na nguvu zaidi.
Afya Tea Spice ni nzuri kwa rika zote pamoja na wagonjwa pia. Haina kemikali, ni asili, haihitaji kutumia majani ya chai; yenyewe inajitosheleza.





MUHIMU:
*** Ina kiwango kikubwa cha mchanganyiko wa virutubisho vingi vya madini, vitamini ‘flavoids’, ‘isoflavones’, ‘polyphenols’ ‘terpenes’ , saporins’ , phytosterols’, na phytate.

*** Husaidia kuzuia mtu asipatwe na Saratani zitokanazo na homoni za mwili, kama vile Saratani ya matiti na tumbo. Vile vile ina uwezo wa kuzuia ugonjwa wa mifupa na matatizo ya wanawake baada ya kufikia ukomo wa hedhi (menopause).

*** Bidhaa hii imejipatia umaarufu kwa kuwa na madini, vitamini na virutubisho vingine vinavyopatikana kwenye samaki, nyama, mayai na maziwa. Kwa maana nyingine mtu anayetumia AFYA TEA SPICE kutoka FAMAREX ni sawa na yule aliyekula vyakula hivyo.

*** Virutubisho vya AFYA TEA SPICE aina ya protini na ‘isoflavones’ hushusha kiwango cha kolesterol mbaya (LDL) mwilini, hali kadhalika hupunguza ugandaji wa damu hivyo kupunguza kwa kiasi kikubwa hatari ya mtu kupatwa na mshituko wa moyo au kiharusi. Vile vile huboresha msukumo na mishipa ya damu mwilini.

*** Kumbuka kuwa protini mwilini huongeza uwezo wa mwili kuhifadhi na kunyonya madini ya ‘calcium’ kwenye mifupa. Kamba lishe (dietary fiber) iliyomo, hurekebisha kiwango cha sukari na uchujaji sumu wa figo.

*** Ni nzuri kwa watu wenye matatizo ya kuwa na macho mekundu, ukosefu wa choo na kusikia kiu kila wakati.

FAIDA NI NYINGI SANA KUZITAJA, HIZO HAPO JUU NI BAADHI/CHACHE TU.

MATUMIZI:
Kijiko kimoja cha chai (au kiasi unachopendelea - kwani haina madhara kiafya) kwa kikombe kimoja cha chai , maziwa au bakuli moja ya uji.
Jali Afya yako na ya familia yako, Tumia bidhaa za FamareX.

PIA TUNAZO SHAMPOO ZA NYWELE zilizotengenezwa kwa kutumia tunda la Apple. Ni nzuri sana, zinafanya nywele zing'ae, zisikatike wala kukakamaa, inasaidia kutibu mba (dandruff).
Kwa wenye mba - tunakuletea suluhisho.
Shampoo hizi ni kwa matumizi ya watu wa jinsia zote (wanaume na wanawake).

Wasiliana nasi:
                                                                                     
 Mkurugenzi,                                                                             
FamareX Products & Co.
0659 700 002
P.O.BOX 7331, Dar es Salaam, Tanzania.  

Marketing Manager,
FamareX Products & Co.
0766 730 360

KARIBU TUKUHUDUMIE.
The Home Of Natural Products.  

Obama takes blame for operation that killed two hostages!


President Barack Obama on Thursday revealed that an American and an Italian hostage were killed in a covert US counter-terrorism operation on the Afghan-Pakistan border in January, saying he took "full responsibility" for the tragedy.

Making public the previously classified finding, Obama expressed his "deepest apologies" to the families of the two hostages, Warren Weinstein and Giovanni Lo Porto.

Two other Americans linked to Al-Qaeda, including spokesman Adam Gadahn, were killed in operations at around the same time, the White House said.

"Based on information and intelligence we have obtained, we believe that a US counter-terrorism operation targeting an Al-Qaeda compound in the Afghanistan-Pakistan border region accidentally killed Warren and Giovanni this past January," Obama said in an unscheduled statement.

"As president and as commander-in-chief, I take full responsibility for all our counter-terrorism operations, including the one that inadvertently took the lives of Warren and Giovanni, he said.

"I profoundly regret what happened. On behalf of the United States government, I offer our deepest apologies to the families."

Weinstein was snatched after gunmen tricked their way into his home in Lahore on August 13, 2011 shortly before he was due to return home after seven years working in Pakistan.

He later appeared in a video in which, under apparent coercion, he asked the United States to free Al-Qaeda prisoners.

Italian aid worker Lo Porto, 39, disappeared in January 2012 in Pakistan.

Weinstein's widow said in a statement that "we are devastated by this news and the knowledge that my husband will never safely return home."

The White House statement did not identify which US agency carried out the operation, which suggests it was carried out by an intelligence service rather than a military unit.

If confirmed, it would be the latest controversy to hit Obama's counter-terrorism operations, which -- while killing Osama bin Laden -- have relied heavily on secret drone strikes.

"We have concluded that Ahmed Faruq, an American who was an Al-Qaeda leader, was killed in the same operation that resulted in the deaths of Dr. Weinstein and Mr. Lo Porto," the White House said.

"We have also concluded that Adam Gadahn, an American who became a prominent member of Al-Qaeda, was killed in January, likely in a separate US Government counterterrorism operation," it added.

"While both Faruq and Gadahn were Al-Qaeda members, neither was specifically targeted, and we did not have information indicating their presence at the sites of these operations."

In his statement, Obama said the US believed that the operation resulting in the hostage deaths "did take out dangerous members of Al-Qaeda."


Source: AFP


Tamko la Serikali Kuhusu Mauaji ya Watanzania Afrika Kusini.

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe, amesema leo kuwa hakuna Mtanzania kati ya watu wanane waliouwawa katika mashambulizi dhidi ya wageni huko Durban na Johannesburg nchini Afrika ya Kusini.
Mhe. Membe amewaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuwa taarifa zilizosambazwa na baadhi ya vyombo vya habari kwamba Watanzania watatu wameuwawa katika mashambulizii hayo siyo za kweli.

“Nimehakikishiwa na Waziri wa Usalama wa Afrika kusini, David Mahlobo, asubuhi hii kuwa hakuna Mtanzania kati ya watu wanane waliouwawa, ambao ni raia wa Ethiopia, Zimbabwe, Malawi na Swaziland,” ametaarifu Mhe. Waziri.
Amesema serikali ina taarifa kuwa kuna Watanzania watatu waliofariki dunia nchini Afrika Kusini, lakini hawakuuwawa katika mashambulizi ya wenyeji dhidi ya wageni.

“Watanzania hao ni Rashidi Jumanne, ambaye imetaarifiwa alipigwa risasi katika tukio la ujambazi, kilometa 90 nje ya mji wa Durban; mfungwa Athumani China Mapepe, aliyeripotiwa kuchomwa kisu gerezani wakati wa vurugu za wafungwa, na Ali Heshima Mohamed, ambaye alifariki hospitalini kutokana na ugonjwa wa TB,” alieleza Mhe. Membe.

Mwili wa marehemu Mohamed ulirejeshwa nchini jana kwa mazishi. Mhe. Waziri alitaarifu kuwa kuna Watanzania 23 katika kambi iliyotayarishwa na serikali ya Afrika Kusini huko Durban kuhudumia wageni wanaokimbia mashambulizi hayo ya wenyeji, na kuwa utaratibu unafanywa kuwarejesha nyumbani raia 21 walioomba. “Wawili wamesema hawako tayari kurudi.”
Mhe. Membe amesema taarifa ya serikali ya Afrika Kusini inaonyesha kuwa hali ya utulivu imerejea Durban na Johannesburg katika saa 48 zilizopita kutokana na juhudi za Rais Jacob Zuma na kamati maalum ya mawaziri aliyoiteua kushughulikia mashambulizi hayo.

Mapema jana, Mhe. Membe alimwita Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Mhe. Thamsanqa Dennis Mseleku, na kuelezea kukerwa kwa serikali na mauaji ya wageni na akataka hatua madhubuti zichukuliwe kuhakikisha usalama wa Watanzania nchini Afrika Kusini.
Alisema Tanzania inaunga mkono taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC), Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe, ambayo imelaani vikali mashambulizi ya Waafrika kutoka nje ya Afrika Kusini. Hata hivyo, Rais Mugabe, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), amesifia hatua zinazochukuliwa na serikali ya Afrika Kusini kukomesha mashambulizi hayo na kurejesha utulivu.
Mhe. Membe aliwataka Watanzania waishio Afrika Kusini na kwingineko nje ya nchi, kujitambulisha kwenye balozi zetu ili iwe rahisi kufuatilia usalama wao na kuwasaidia pale yatokeapo majanga.
“Hatuna takwimu sahihi za idadi ya Watanzania waishio Afrika kusini kwa sababu wengi wao wamekwenda huko kwa njia za panya,” alisema. Inakadiriwa kuna Watanzania 10,000 waishio Johannesburg na Durban.

Akijibu swali la mwandishi wa habari, Mhe. Membe alisema Tanzania inapaswa kutumia utajiri mkubwa wa gesi asilia ilionao ili kuendeleza viwanda vidogo, vya kati na vikubwa vitakavyotengeneza ajira za kuvutia kwa vijana ili wasikimbilie nchi za nje na kuhatarisha maisha yao.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Dar es Salaam
20 Aprili 2015. 

Source: www.joelnanauka.com

| Jaxon's HandMade Products |


For Quality Hand Made Products, Join | Jaxon's HandMade |

                                                                             

To Order 24/7
Call: +255 762 252 928
| Jaxon's HandMade Products |                                                                                         

MAAHUSIANO / UCHUMBA - KUELEKEA NDOA/CHOOSING YOUR MATE.


Shalom_Shalom‬,
Mabibi na Mabwana - Singles & Couples Karibuni kwa meza ya Bwana tupate kula na kunywa pamoja. Namshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo ambaye kwa ajili yenu amenichagua niwe mpishi wenu siku ya leo; Nami najitoa kwa nia ya dhati kabisa kwa ajili yenu/yetu sote kwa kusudi jema kabisa la Kujenga na Kupanda.

 Ni mimi ‪‎Mjoli‬ wenu katika KRISTO_YESU‬ Bwana wetu.




1KORINTH 7:1-11, Key Verse Yetu.
Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke. Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe. Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake. Mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe; vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe.... ' Ila nipendalo ni kwamba watu wote wawe kama mimi nilivyo; walakini kila mtu ana karama yake mwenyewe itokayo kwa Mungu, huyu hivi, na huyu hivi. Lakini nawaambia wale wasiooa bado, na wajane, Ni heri wakae kama mimi nilivyo. Lakini ikiwa hawawezi kujizuia, na waoe; maana ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa ' ...!
NB: Unaweza kutusaidia maandiko mengine ku-support andiko/somo tajwa hapo juu.
Ni ukweli usiopingika kwamba huwezi kuzungumzia Mahusiano ukayamaliza, mahusiano ni mfano wa bahari ambayo ndani yake kuna/imebeba mambo mengi sana na mengi mapya huzaliwa kila iitwapo leo.
Mahisiano ni hali ya kuhusiana/kubaliana/relate/share/patana/connections - na kinyume chake chaweza kuwa sahihi pia.

DONDOO_MUHIMU_UTANGULIZI‬.
* Kuwa na msimamo ( sio kuwachezea wasichana/umiza hisia/feelings zao/tesa mioyo yao)
* Usimwambie msichana kwamba unampenda kama hutamwambia utamuoa
* Mwanaume ndiye anayeanzisha/initiate urafiki
* Kawaida mwanaume ana huruma kwa mwanamke - hawezi kumkatalia mwanamke
* Usiwe omba omba wa upendo, na kamwe usimvulie nguo yako ya ndani ili kumthibitishia/mwonyesha kuwa unampenda, kama zipu yako mbovu ama sketi yako imekatika kifungo - Hima wahi kwa fundi (YESU KRISTO) aweke mambo sawa nawe utakuwa salama.
Tunapozungumzia mahusiano lazima yawe baina/kati ya watu wa jinsia mbili tofauti kike na kiume, ni mahusiano ya urafiki kati ya jinsia hizi mbili ambayo yatapelekea uchumba hatimaye yatapelekea ndoa.
Mahusiano haya yanahitaji maarifa/ufahamu na ustadi. Mahusiano ya uchumba sio kuangaliana usoni ama kukodoleana macho tu basi, Bali ni pamoja na kuulizana maswali magumu na kuzungumza juu ya mambo ya msingi kwa sababu ni kitu/jambo la maisha.

WAKATI_GANI_USIO_MZURI_KUINGIA_KWENYE_UCHUMBA_MAHUSIANO‬!
a> Kamwe usiingie kwenye mahusiano/uchumba kama hujui ‪‎WITO_WAKO‬ - Mungu amekuitia nini.
Mfano: kama huna muelekeo wa huduma (nazungumza na kijana aliyeokoka) - Efeso‬ 4:1, ...' mwenende kama inavyoustahili wito_wenu‬ mlioitiwa.
Kuoa/olewa na mtu asiye na muelekeo ni hatari sana. Ni lazima NIITWE/UITWE pamoja na mke wangu/wako katika huduma.
Muelekeo wa watu wawili ni muhimu - makusudi na nia ya mioyo ipatane/shikane pamoja.
Wito wa Mungu katika maisha lazima uwe nambari moja (1) katika kuoa/olewa, wito/muelekeo/shauku ya moyo iwe ni mapenzi Mungu na sio kutaka tu kutimiza mambo yako/nia zingine (ke/me).
Ndio maana utakuta mke/mume kabla ya kuoa/olewa alikuwa mtumishi mzuri sana na kujitoa sana kwa ajili ya Mungu/BWANA, lakini mara tu baada ya kuoa/olewa huduma inakuwa si huduma tena ama inakufa/zorota au kushney kabisa.
b> Kama umekata tamaa usiingie kwenye mahusiano.
Usifanye maamuzi kama umefishwa/vunjwa moyo - maana 95% ya maamuzi yako yatakuwa mabovu na mwisho wa siku utaujutia uamuzi ulioufanya.

 Itaendelea.

Next: SABABU 11 MBOVU ZINAZOFANYA WATU WAOANE.

Wasiliana na mwalimu wa somo hili:
0766 730 360 / 0659 700 002




HALI YA MWIMBAJI WA INJILI NCHINI SI NZURI, YUPO CHUMBA CHA UPASUAJI SASA, MUOMBEE KAMA VILE HUJAWAHI KUOMBA TENA.



Maombi yako yanahitajika ili Mungu amponye mwimbaji wa muziki wa injili nchini Debora John Saidi ambaye hali yake inaelezwa kwamba si nzuri nasasa yuko chumba cha upasuaji hospitali ya Mwananyamala kuondolewa uvimbe mkubwa tumboni ambao umesababisha alie kwa maumivu makali.

Upasuaji wa kutoa uvimbe huo ulitarajiwa kufanyika kesho, lakini kutokana na maumivu pamoja na kilio kutoka kwa mwimbaji huyo imebidi kupelekwa chumba cha upasuaji mchana huu. Ambapo mchana wa leo baadhi ya waimbaji wenzake akiwemo Joshua Makondeko, Tumaini Njole walifika hospitalini hapo kumjulia hali. Mdau wangu sema neno la uponyaji kwa ajili ya Debora John Saidi.
Zaburi 103:3-4.





Source: GK.

Debora akilishwa kabla ya kupelekwa chumba cha upasuaji.
Mungu akuponye Debora.



Joshua Makondeko akimnywesha maji Debora.

Magonjwa Ya Moyo Na Presha Sasa Basi...




MARA NYINGI MAZOEA NDIO YANAYOTUFANYA TUJIKUTE TUNAINGIA KWENYE GHARAMA ZISIZO ZA LAZIMA.




NYAKATI HIZI MAGONJWA KAMA YA MOYO / HIGH BLOOD PRESSURE YAMESHIKA KASI NA KUWA TISHIO NA YAMEINGIA HADI KWA WATOTO, UNABAKI KUJIULIZA HIVI MTOTO MDOGO KAMA HUYU HUU UGONJWA KAUPATA WAPI, MWISHO WA SIKU UNAANZA KUMTAFUTA MCHAWI NI NANI... Kiukweli ni lazima tujali ni vyakula vya aina gani tunatumia, Je! Ni vyakula asilia au vimejazwa makemikali ambayo ndio chanzo cha matatizo haya yote?




HABARI NJEMA KWAKO LEO.


Kampuni ya ''Halista Enterprises'' wanasema - MAGONJWA SASA BASI, Ni baada ya kuanza kuzalisha mafuta Halisi ya Alizeti inayolimwa hapa hapa Tanzania.




WASILIANA NAO KWA NAMBA ZILIZOKO KWENYE STICKER YA TANGAZO.
 TANGAZA KUPITIA:   MJ Media - making business known.

ROSINE SWAI: MKALI MPYA WA NYIMBO ZA INJILI TANZANIA - AJA NA LADHA TOFAUTI.

MKALI MPYA WA NYIMBO ZA INJILI TANZANIA - LADHA TOFAUTI.
NI Rosine Swai KUTOKA MKOANI KILIMANJARO.

WASILIANA NAYE KWA WHATSAPP: 0759 037 903,
PIA MUDA SI MREFU ZITASIKIKA KWENYE INTERNET NA MITANDAO MINGINE YA KIJAMII PIA UNAWEZA KUTUMIWA WIMBO KUPITIA WHATSAPP KWA NAMBA HIYO HAPO JUU.

ROSINE SWAI: ANAOMBA WAPENDWA NA WADAU WOTE WA MUZIKI WA INJILI TANZANIA NA HATA NJE YA TANZANIA MUMSAIDIE KU-SHARE HII KWA MARAFIKI MBALIMBALI.

NOTE: HAYA NI MAANDALIZI YA UJIO WA ALBUM YAKE YA KWANZA AMBAYO IKO JIKONI,
MUDA SI MREFU ITASIKIKA MASIKIONI MWA WAPENZI NA WADAU WOTE WA MUZIKI WA INJILI.




Mtafute kwa namba hizi:
0759 037 903, Pia inatumika kwa Whatsapp.



COMING SOON!!! ALINE VYUKA - NCHI TATU ZASHIRIKI.


 To all my friends if you get one copy for $10, It will send 10 orphans in school this Collection is for fundraising money in order to help orphans in Africa
Get one for just $ 10
If you want to support Aline vyuka foundation you can get one copy for more than $ 10, $15, $50 even $100 you are more welcome
I thank to all gospel singer who support me by contributing their song. 


SPONSORED BY: ALINE VYUKA FOUNDATION.

  
 The mission of Aline Vyuka foundation is to develop and promote public healthcare and provide basic supplies such as food, clothes and some school supplies to the orphans in Africa. Aline Vyuka foundation raises money by using Aline’s talent to sell her music and some fundraising in different ways.
Aline Vyuka so far has worked with different artist from Burundi, Kenya and Tanzania by releasing a collection of songs for an Album, which the income ( money) of that album will be helping orphans in Africa.


Aline vyuka foundation now is selling this Audio Cd $10 for one copy
If you get one copy It will buy 15 notebooks for 15 orphans .
Your support is very important and we will be appreciate; contact Aline vyuka through her Facebook ( ALINE VYUKA ), by e-mail: alinedukunde@hotmail.com or her number +16052018124 in order to get this CD.


You might also Like her facebook page ''Aline Vyuka Foundation'' in order to get more information about her Foundation.

Thank you & God bless you abundantly!  
ALINE VYUKA

For Logo & CD Cover Design, Contact MJ Media +255 659 700 002 Or +255 653 100 100
E-mail: mdeejunior@gmail.com  OR www.facebook.com/mjmediatz
 

ZOEZI LA KUVISHANA PETE LILIKUWA HIVI KATI YA Bishop SHABOKA na ROSE MUSHI.


Maneno haya yalisikika kinywani mwa Shaboka na Rose  ''MAY THE LORD HELP ME TO KEEP MY PROMISE'' Ni maneno ya ku-surrender kwa BWANA, Oooh Hallellujah!!!!!

Watch Now!


0659 700 002
Blog Admin.

Wachungaji Waweka Mikono Juu Ya Bishop Shaboka na Rose Mushi.


Baada ya kuvalishana pete, yalifuata maombi ya baraka na ushindi juu yao.

Check hapa:


HILI NDILO TABASAMU LA MWANADADA ROSE MUSHI LILILOMCHANGANYA BISHOP NICKODEMUS SHABOKA Jr.


Hatimaye Bishop Nickodemus Shaboka Jr wa City Harvest Church na Rose Mushi wa Calvary Assemblies Of God wapeana viapo vya uchumba kuelekea NDOA.
Shangwe hizi zilifanyika ndani ya CITY HARVEST CHURCH.

Hilo ndilo tabasamu la mwana dada Rose Mushi (LDN) mbele ya mtarajiwa wake na umati wa watu waliohudhuria tukio hili pamoja na wachungaji.



MAONI YAKO

.























Long Live Shaboka & Rose!
Don't miss to attend on their Wedding!
Call: 0715 310 587 (Shaboka) for wedding Updates! Date & Venue!
Or keep on visiting this site for more updates.

Thanks!

Juu